Wewe ni mtumiaji wa AI hizi ndio faida na hasara usizozijua

 

Teknolojia ya artificial imtelligence imeleta mapinduzi katika namna tunavyotafuta taarifa mbalimbali kupata mawazo na hata kujifunza  AI mar azote ni program muhimu kwa kila mmoja katika maisha ya kila siku kwani unas kufanya utafutaji wa taarifa wa kazi kwa ubunifu zaidi.

GOOGLE GEMINI



Gemini ni nzuri kwani  inakusaidia wewe kuweza kupta habari mpya kwani google inapata taarifa nyingi mpya

Gemini ni msaidizi wa AI  wa google inapatikana appya google  inasidia utafutaji kwa kazi ubunifu pamoja na uwezo kuunda maandiko mbalimbali pamoja na picha.

FAIDA ZAKE

Inatoa majibu kutoka katika serch engine za google

Inaweza kuunda maudhui kama  videona picha ubunifu zaidi.

Unajiunga vizuri kwa kutumia gmail inatokana na huduma za google.

HASARA

Vipengele vya juu katika program hii ni bei ghali zaidi  kwa hiyo unahitaji kulipia

 NAMNA YA KUIPATA

Android:Nenda playstore na andika google gemine na install

Iphone:Nenda appstore  kasha andika google Gemini na udownload

GRAMMARLY



Inasaidia maandikombalimbali ambayo yameandikwa  kwa lugha ya kiingereza  kwa kuboresha  misamiati na sarufi zilizokosewa

FAIDA

Inafanya kazi maeneo yote  kama kutafuta kuandika email,cv na  mengine mengi

Inarekebisha makosa yote kwa ufasaha zaidi kwa matumizi ya maneno

HASARA

Toleo la bure ina vipengele vichache ukitaka vingi labda ulipie

Inatumia lugha ya kingereza pekee

 

OTTER AI



Ni Ai ambayo inawasaidia wale watu ambao wanataka kuchukua notsi ya mazungumzo kwenye vikao mbalimbalimbali unayofanya baada ya hapo  mazungumzo hayo yanabadilishwa kuwa maandishi.

FAIDA

Inarekodi sauti na kutafsiri kuwa maandishi wakati huo

Inakusaidia kusikiliza mazungumzo uliyoyazungumza  kwenye kikao na kuondoa maandishi ambayo yamekosewa.

 CHATGPT



Ni ai ambayo inasaidia kupata taarifa na kupata mawazo mbalimbali na hata ushauri

FAIDA

Inasaidia shughuli za utafiti mbalimbali

Inapatikana bure kwa matumizimachache ya kila siku

HASARA

Taarifa zinazotolewa sio zote ni sahihi inategemea na  vyanzo vya mtandao

Kama  huduma zinazotolewa na AI inahitaji uhakika wa taarifa ili kutoweza kuwapotosha

Kwa kumalizia nasema kuwa hizi program zote zinapatikana kwenye playstore na appstore

Lakini tukumbuke kwamba  teknolojia hizi za AI ni bora zaidi ukitumia lakini kwa asilimia kubwa  inapunguza  IQ yako yaani uwezo wako wako wa kutafakari mambo kwa hiyo kwa ushauritukitumia hizo program tuhakkishe kuwa tuna maarifa hata kidogo.

Kama umependa makala hii usisahau kushare na ndugu jamaa na marafiki.

Previous Post Next Post

Ad 1

Ad 2